iqna

IQNA

Yahya Bonaud
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Yahya (Christian) Bonaud, mwanafikra Mfaransa, msomi na mtarjumi wa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kifaransa amefariki Jumatatu akiwa na umri wa miaka 62.
Habari ID: 3472103    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/27